• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

MIRADI YA MANISPAA YA TABORA YANGARA KATIKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2024

Posted on: August 20th, 2024

Na Alex Siriyako:

Miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora imengara katika mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 baada ya miradi yote saba yenye thamani ya zaidi ya bilioni kumi na nane kubata baraka za Viongozi Wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa wakiongozwa na Ndugu Godfrey Eliakim Mnzava.

Mwenge wa Uhuru leo Agosti 20, 2024 umekimbizwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ambapo miradi iliyotembelewa na kukaguliwa ni pamoja na Madarasa matano na vyoo yaliyopo Shule ya Sekondari Itonjanda, Jengo la Wagonjwa wa Nje (OPD) katika Hospitali ya Saint Anna,s Mission, Kituo cha Mafuta ”SIZYA PETROL STATION”, Mtandao wa barabara za rami wenye urefu wa kilometa10.7, Mradi wa maji Manispaa ya Tabora unaonufaisha vijiji vya Ntalikwa, Tumbi, Kakola pamoja na Magoweko, Bustani ya Miti , pamoja  Mradi wa Usafirishaji Bodaboda (Kikundi cha Ujamaa).

Aidha Ndugu Godfrey Eliakim Mnzava, Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa katika miradi yote hii amezindua madarasa hayo matano na Vyoo katika Shule ya Sekondari Itonjanda, amezindua mradi wa Jengo la Wagonjwa wa Nje ( OPD) katika Hospitali ya Saint Anna,s Mission, amezindua kituo cha mafuta SIZYA PETRO STATION, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Mtandao wa barabara za rami zenye urefu wa kilometa 10.7, amezindua mradi wa maji Tabora , amezindua bustani ya miti , lakini pia ametembelea na kukagua mradi wa bodaboda wa kikundi cha Ujamaa.

Vilevile Viongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru wamesisitiza sana katika jumbe zao, Jamii kuendelea kuchukua tahadhari na  kupambana na maradhi kama UKIMWI, Malaria, Dawa za kulevya, pamoja na Kutunza Mazingira.

Kwa msisitizo sana, Ndugu Godfrey Mnzava ameissitiza Jamii ya Tabora kuepuka sana vitendo vyote vya vyenye viashiria vya Rushwa hasa katika kipindi hiki ambacho Nchi inaelekea kwenye chaguzi, na katika hili amewaasa Jamii ya Tabora ikashiriki vyema sana kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa, kama kauli mbiu ya mwaka huu inavyojieleza.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.