• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

MASHINDANO YA UMITASHUMTA YAMALIZIKA RASMI MKOANI TABORA KWA MWAKA 2023

Posted on: June 13th, 2023

Na Alex Siriyako:

Mashindano ya UMITASHUMTA Kitaifa ambayo yamedumu kwa  takribani Wiki mbili  kuanzia Juni 3,2023 hapa Mkoani Tabora katika viwanja vya Tabora Boys na Tabora Girls yakishindanisha timu kutoka Mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani  yamefikia  tamati leo hii Juni 13,2023.

Akifunga Mashindano haya Naibu Waziri ,Wizara ya Elimu , Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary  Juma Kipanga amemshukuru sana Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuziwezesha Wizara tano ambazo zimehusika kuratibu na kusimamia utekelezaji wa Mashindano haya ambazo ni Wizara ya Fedha na Mipango, TAMISEMI,  Elimu ,Sayansi na Teknolojia,Utamaduni ,Sanaa na Michezo pamoja na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amari ya Zanzibar.

Aidha Waziri Kipanga amewapongeza kwa dhati kabisa Uongozi wa Mkoa wa Tabora kwa maandalizi mazuri ya michezo hii lakini vilevile kwa kusimamia vyema sana ulinzi wa watoto hawa kwa muda wote ambao wamekuwa hapa Mkoani Tabora.

Waziri Kipanga ameelekeza kuwa michezo,Sanaa na ubunifu ipewe kipaumbele mashuleni kwani huleta tija kubwa sana na kuleta matokeo chanya kwenye ujifunzaji shuleni na vyuoni.

Mhe. Kipanga ameeleza kuwa Rasmu ya Maboresho ya Mitaala ya mwaka 2023 imeongeza michepuo ya Sanaa, michezo na mziki lengo ikiwa ni kuendeleza vipaji vya wanafunzi na kuwawezesha kutumia vyema sana vipaji vyao katika maisha yao.

Michezo hii imekamilika kwa ngazi ya UMITASHUMTA Kitaifa huku Mkoa wa Mwanza ukiibuka kidedea kwa kubeba vikombe vingi, lakini pia ukishika nafasi ya kwanza Kitaifa kwa ushindi wa jumla.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.