• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

Posted on: December 23rd, 2024

Na Alex Siriyako:

Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama wameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kwa kutekeleza miradi ya kimkakati katika sekta za Afya, Elimu, Miundombinu ya Barabara pamoja na Utawala Bora.

Madiwani wa Kahama wametoa pongezi hizi leo Disemba 23, 2024 katika ukumbi wa Manispaa ya Tabora ambapo wamefanya ziara ya kujifunza katika Manispaa hii kwa siku mbili. Aidha pongezi hizi zimetolewa baada ya kupokea taarifa ya miradi ya kimkakati ambayo imetekelezwa, inayoendelea kutekelzwa na inayotarajiwa kutekelezwa  na Manispaa ya Tabora.

Kadhalika ,Waheshimiwa Madiwani wa Kahama wamepata fursa ya kutembelea baadhi ya miradi ya maendeleo kama jingo jipya la utawala la Makao Makuu ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, mtandao wa barabara za rami zilizojengwa chini ya mradi wa ULGSP chini ya ufadhili wa benki ya Dunia, lakini pia wakajionea namna ambayo miti iliyopandwa kuzunguka mji mzima wa Tabora inavyoupendezesha mji wa Tabora ukiachilia mbali faida zake zingine za kimazingira.

Mhe. Sindano Machumu, Naibu    Meya wa Manispaa ya Kahama, kwa niaba ya Madiwani wa Kahama, ameishukuru sana Manispaa ya Tabora kwa mapokezi mazuri, ushirikiano mzuri na zaidi ya yote ameipongeza Manispaa ya Tabora kwa utunzaji mzuri sana wa miradi ya barabara  pamoja na uhifadhi wa mazingira,  “mji wa Tabora unapendeza sana hasa unapoowanisha barabara nzuri zenye miti inayomeremeta” Mhe. Mchumu amesema.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama Ndugu Robert Kwela, ameishukuru pia Manispaa ya Tabora kwa mapokezi mazuri, amefafanua kuwa wamejifunza mengi sana katika Manispaa hii, hasa namna ya kukabiliana na changamoto katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati, namna ya kutunza mazingira, hasa upandaji wa miti, na zaidi yote ameeleza kuwa wanaenda kuyafanyia kazi yote waliyojifunza.

 Kwa niaba ya Manispaa ya Tabora, Naibu Meya wa Manispaa ya Tabora Mhe. Adam Kalonga  ambaye aliambatana vilevile na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora Dkt. Shani Mudamu katika salamu zake amewapongeza na kuwashukuru sana Madiwani wa Kahama kwa kuja kujifunza Tabora, amefafanuwa kuwa mji wa Tabora ni mji wa asali na maziwa na wenyeji wa hapa ni wakalimu sana, hivyo wawe na amani kabisa.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.