• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

KIKUNDI-KAZI CHA UTEKELEZAJI MRADI WA TACTIC KIMEMUELEKEZA MKANDARASI KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA TACTIC MANISPAA YA TABORA

Posted on: March 5th, 2024

Na Alex Siriyako:

Kikundi -kazi cha Utekelezaji wa Mradi wa Tanzania Cities Transforming Infrastructure and Competitiveness Project ( TACTIC) kimemuelekeza Mkandarasi Chongqing International Construction Corporation ( CICO)  kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi huu awamu ya kwanza katika Manispaa ya Tabora.

Maelekezo haya sambamba na maelekezo na ushauri mwingine wa kitaalamu yametolewa leo hii Machi 5,2023 ambapo wataalamu hawa kutoka Benki ya Dunia na Ofisi ya Rais-TAMISEMI  wametembelea barabara zote za mradi huu wa TACTIC  awamu ya kwanza kwa Manispaa ya Tabora ambazo ni Kanyenye I, II & III( 1.99 km),barabara ya Swetu ( 1.99 km), barabara ya maili tano I,II, & III( 2.4 km), barabara ya Kisarika I, II, III( 2.9 km) pamoja na ujenzi wa Ofisi ya Mkandarasi.

Aidha Wataalamu hawa wameshauri kuangalia upya usanifu wa barabara ya Kisarika kutokana na sehemu kubwa ya  barabara  hii kuwa katika eneo linalokusanya maji mengi, lengo kuu likiwa ni ujenzi wa barabara hii usigeuke kuwa adha kwa Makazi yaliyo karibu na barabara hii mathalani kipande kilichopo karibu na Hospitali ya Malolo.

Vilevile Wataalamu hawa wameshauri  Mkandarasi , Mhandisi Mkazi pamoja na Manispaa ya Tabora kushirikiana  kuweka taratibu zote sawa ili watoa huduma kwa umma ambao huduma zao zinapita barabarani kama TANESCO, TUWASA pamoja na TTCL  wanahamisha huduma hizo ili kupisha ujenzi wa barabara kwa wakati.

Zaidi ya yote, timu hii ya Wataalamu ikiongozwa na Mhandisi Erick Mwindi kwa upande wa Benki ya Dunia na Mhandisi Arif Almas kwa upande wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI, wamemsisitiza Mkandarasi kuwa eneo la Manispaa ya Tabora kwa ujumla wake kiwango cha maji kutoka ardhini ( Water Table) kiko juu sana, hivyo azingatie sana hilo katika ujenzi wa babara hizi.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.