• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

KAMATI YA MIPANGOMIJI YAISHAURI MANISPAA YA TABORA KUCHUKUA HATUA ZA DHARULA KUKABILIANA NA MIUNDOMBINU ISIYORIDHISHA YA VYOO KATIKA BAADHI YA SHULE ZA MSINGI

Posted on: February 19th, 2024

Na Alex Siriyako:

Kamati ya Kudumu ya Mipangomiji ikiongozwa na Mwenyekiti wake ambae pia ni Diwani wa Kata ya Kitete Mhe. Musa James Kaholyo, imetembelea na kukagua baadhi ya taasisi zilizo chini ya Manispaa ya Tabora mathalani Shule ya Msingi Manoleo, Shule ya Msingi Uhuru, Shule ya Msingi Town School pamoja na Shule ya Msingi Usule.

Katika Ziara hii ambayo imefanyika leo Februari 19,2023, Kamati imetembelea mradi wa upandaji miti uliopo Shule ya Msingi Manoleo Kata ya Itonjanda, Kamati imetembelea na kujionea hali halisi ya vyoo vilivyotitia kutokana na Mvua nyingi katika shule ya Msingi Uhuru iliyopo Kata ya Cheyo, Kamati  imeona na kukagua madawati yaliyotengenezwa kwa mapato ya ndani, lakini pia imeshuhudia hali mbaya sana ya vyoo vilivyotitia na sehemu ya vyoo kubomoka katika shule ya Msingi Town School iliyopo Kata ya Gongoni. Aidha kamati imemaliza ziara yake kwa kutembelea na kukagua ujenzi wa matundu  ya vyoo katika shule ya Msingi Usule iliyopo Kata ya Mbugani.

Kwa upande wao Waheshimiwa Madiwani wa Kamati hii ya Mipangomiji, wameitaka Halmashauri  ya Manispaa ya Tabora kutafuta bajeti ya dharula kukabiliana na uharibifu wa miundombinu ya vyoo iliyoharibika kutokana na Mnvua nyingi zinazoendelea kunyesha na kuongeza kuwa watoto hawawezi kusoma bila miundombinu hiyo muhimu na ya lazima.

Halikadhalika, Mwenyekiti wa Kamati hii amemshukuru Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa fedha nyingi za miradi anazoipatia Manispaa ya Tabora, vilevile kwa niaba ya Kamati ameipongeza Manispaa ya Tabora kwa jitihada za makusudi na za vitendo za kuendelea kupambana na tatizo la upungufu wa madawati hasa katika shule za msingi katika Manispaa ya Tabora.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.