• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

DKT. MSONDE AAGIZA KUKAMILISHWA KWA WAKATI MIRADI YA ELIMU

Posted on: August 15th, 2022

Naibu Katibu Mkuu (Elimu) Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Charles Msonde amewataka Maafisa Elimu Miko ana Maafisa Elimu Sekondari wa Halmashauri kusimamia miradi ya elimu kukamilika kwa wakati ili kuepuka kwa hoja za ukaguzi katika utekelezaji wa miradi hiyo.

Hayo yameelezwa leo tarehe 15 Agosti, 2022 Mkoani Tabora wakati akifungua kikao kazi cha Mafunzo na kujengewa uwezo kwa maafisa hao kuhusu Usalama wa Mazingira na Jamii katika kutekeleza mradi wa Kuboresha Elimu ya Sekondari (Tanzania Secondary Education Quality Improvement Project – SEQUIP) katika maeneo yao ili kuepuka changamoto zinazoweza kujitokeza katika utekelezaji wake.

Dkt. Msonde aliendelea kufafanua kuwa, Serikali imeendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya elimu na fedha za mradi wa SEQUIP na kuboresha elimu ya Sekondari, kuongeza fursa ya upatikanaji wa elimu, kupunguza vikwazo vinavyosababisha wanafunzi  kuacha shule, kuwasaidia wanafunzi kumaliza elimu bora ya sekondari na kupunguza changamotoza upatikanaji wa elimu nchini.

Dkt. Msonde amewataka maafisa hao katika kusimamia ujenzi wa shule hizo kuepuka migogoro ya ardhi inayoweza kutokea na kusababisha matatizo kwa kutoendelea kwa ujenzi. Aidha vilevile kusimamia ujenzi ili uendane na  thamani ya fedha iliyotolewa , pia pia kusimamia utekelezaji wa ujenzi unaoweza kuzingatia muda uliowekwa ili ukamilike kwa wakati na shule hizo I;I ziweze kukamilika na wanafunzi kwa haraka.

“Ninyi ni wabobezi katika usimamizi na utekelezaji wa elimu tushirikiane sote ili miradi hii iwe yenye kuleta tija katika Taifa letu,” alisema Dkt. Msonde.

Awali akitoa maelezo mafupi Mkurugenzi Msaidizi Idara Usimamizi wa Elimu Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bi Hadija Mcheka amemuelezaNaibu Katibu Mkuu Dkt. Charles Msonde kuwa , kikao hicho kitakuwa cha siku mbili kwa kujengewa uwezo kwa maafisa hao kwa kufundishwa mada mbalimbali kutoka kwa wataalamu ili kupata ufahamu taratibu za usimamizi wa mradi na kupata nafasi ya kutoa maoni katika kufanikisha mradi unatekelezwa kwa ufanisi zaidi.

Kwa upande wake Afisa Elimu Mkoa wa Tabora Bw. Juma Kaponda akiongea kwa  iaba ya watendaji hao ameishukuru sana Serikali kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya elimu na kuahidi kusimamia kwa kutekeleza na kufuata sheria, miongozo na taratibu zinazowataka kwa kuhakikisha Sekta ya elimu inakuwa na manufaa kwa Taifa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.