Ili uweze kupata leseni ya biashara yako kwanza unatakiwa uwe na namba ya Mlipa kodi yaani TIN na Clearance fomu kutoka Mamlaka ya Mapato (TRA), Kisha unatakiwa kujaza fomu ya maombi ya biashara na kuipeleka kwa Afisa Biashara Ofisi ya Mkurugenzi
Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Manispaa Tabora, 4 Barabara ya Kiwanja cha Ndege
Anwani ya Posta: S.L.P 174, 45182 Tabora
Simu ya Ofisi: +255 262606088
Simu ya Mkononi: +255
Barua Pepe: md@taboramc.go.tz
Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.